Friday, 24 April 2015

Mabanda mazuri ya kware ni yapi

Nimekuwa ninapokea email nyingi kuhusu mabanda ya kware yameje ili uweze kufuga kware vyema kwa kuwa watu wengi wanapenda  kuwa na kware kati ya 100 na mia mbili  mambo makuu matatu unatakiwa kuwepo katika mabanda ya kware.
1, Moja kuwe na hewa ya kutosha
2. Sehemu ya kunyea maji  na chakula ili waweze
3. liwe limefunikwa ili kwamba wasiweze kutoka nje maana wao huweza kuruka.

Sasa watu wengine walikuwa wanafuga kuku kwahiyo kama ulishafuga kuku wa kisasa ambao uliweka kwenye banda na kware ni wadogo basi katika square mita moja unaweza kuweka kware 25 mpaka  30   nawakawa kwenye nafasi ya kutosha na kuweka maranda basi unaendelea na ufugaji wako. Ila kwa wale ambao wana sehemu ndogo unaweza kutengeneza cages za ngazi tatu za mita mita mbili kwa moja na nusu nakuwza kware wako 40  kwenye kila ngazi na ukawa nazo nyingi tu  njisi unavyotaka
                                       




    Banda ambalo mbolea inatolewa kwenye vidroo ila kitu cha kuhakikisha unakuwa na umbali wa kutosha ili kware wasiungue   na amonia maana mbolea ya kware ina amonia nyingi


Tuesday, 24 February 2015

UMUHIMU WA MAYAI YA KWARE KATIKA KUPAMBANA NA ALLERGIES NA KUWEKA AFYA YA UBONGO

Siku za karibuni nimendela kupata habari kutoka kwa wateja wangu jinsi gani watu waliokuwa na matatizo ya kiafya hasa ya allergy na kupoteza kumbukumbu walivyosaidika kwenye matatizoa yao. Lakini kwa kuwa mimi sio mwasanyansi ila ni naamini watu waliotangulia wanaweza kuwa wamefanya utafiti zaidi ili nami nipate sehemu ya kuizungumzia kisanyansi na baada ya kuaanza kutafuta nini hasa kimefanyika ndipo nilipokuta  makala ya Dr J. C Truggier, Daktari wa kifaransa ambaye katika miaka ya 1960 aliamua kufanya utafiti baada ya kuona watu wengi waliotumia mayai ya kware wanapata nafuu hasa kwenye allergy za mazingira wanayoishi na wanaume walikuwa wamepungukiwa na nguvu za kiume zikirudi kwa miaka kumi alifanya utafiti na akagundua kuwa mayai haya yanasaidia sana katika kukuza kinga ya mwili wa binadamu kupambana na magonjwa na hivyo hivyo katika kufanya watu wenye allergy mbalimbali kuendelea vyema na kutosumbuliwa na hasa wale waliokuwa wanasumbuliwa na vumbi na hatimaye utafiti wake ulichapishwa katika  French Medical Journal 15 March 1978 ukipenda ujisomee wenyewe kwa urefu hii hapa link yake
file:///C:/Users/user/Downloads/9.Truffier%20JC-1978-EN-Treatment%20of%20allergy-Quail%20eggs.pdf

Ila kiu yangu haikuishia hapo nikaendelea kutafuta tafiti ambazo nazo zimefanyika siku za karibuni ikiwa nayo technologia imeuongezeka ndipo  nilipokutaana na moja iliyochapishwa kwenye  International Journal of Scientific and Research Publication volume 3 ya toleo la tarehe 05 May 2013 ambalo baada ya utafiti wao walifikia hitimisho hili  "
"Many nutrient benefits of quail eggs which most of them as good sources of protein, fat, vitamin E, minerals (nitrogen, iron and zinc) and sex hormone P. Thus, we should educate or transfer knowledge to people for good nutrient benefits of quail eggs as good nutritional foods and may be the alternative resolving problem of people in some or all nutritional nutrients necessary for human health in developing countries and may be a good potential to resolve “World Food Problem”.
ukitaka utafiti wote na jinsi walivyofikia hapo unaweza kuupata kwenye  hii link
http://www.ijsrp.org/research-paper-0513/ijsrp-p1729.pdf
Naamini tukiendelea kutumia mayai yake nakuona faida zake tunaweza kuomba wana sayansi wetu nao wafanye utafiti ili tuendelee kujua faida zake nyinginezo ambazo hazijangundulika bado nawatakieni siku njema.


Friday, 2 January 2015

NAWATAKIENI HERI NA FANAKA ZA MWAKA MPYA



Tunapoingia mwaka mpya 2015 , napenda kuchukua nafasi hii kwanza kabisa kumshukuru Mungu aliyetuwezesha kufika siku ya leo na pili kuwashukuru wateja wote na wafugaji ambao wanaendelea kujifunza zaidi kuhusu umuhimu wa ndege aina ya kware na faida zake katika maisha ya binadamu. Katika mwaka uliopita nimepata kujifunza mengi na nimepokea ushauri mwengi na vile vile shuhuda nyingi ya jinsi mayai ya kware kama chakula bora kilivyowasaidia watu mbalimbali na kama inavyoonyesha ni watu asilimia chini ya 10% wanakuja na kutoa shukrani basi naamini watu wengi zaidi wamenufaika tuendelee kujifunza umuhimu wa chakula hiki katika  afya ya binadamu nawatakiani kila la heri na fanaka tele katika mwaka huu 2015.
Mungu awabariki na kuwalinda wote

Saturday, 30 August 2014

MAYAI YA KWARE YANALIWAJE





Baada ya kuelimishana juu ya umuhimu wa mayai yak ware katika mwili wa binadamu watu wengi walipitia sehemu mbalilmbali wameona kwenye  mtandao kuwa yana umuhimu kweli kwenye afya zetu  kama chakula bora. Sasa swali ninaloulizwa mara kwa mara ni je yanatumiwaje au yanaliwaje? Mayai ya kware yanaaliwa vilevile kama yanavyoliwa ya kuku unaweza kukaanga, kuchemsha na hata kula  wabichi vyovyote ambavyo wewe utaona inafaa., mimi napenda zaidi kula ya kuchemsha au kuyasteam kwenye mvuke naona hivyo ndio matamu. Mayai haya ambayo mimi napenda kuyaita kuwa super food yanasaidia sana watu katika kuimarisha kumbukumbu, watu wenye kisukari nyama isiponyee, watu wenye shinikizo la damu au pressure na inaondoa cholesterol mbay inaweka nzuri maana mayai yak ware yana cholesterol nzuri kwa asilimia kubwa sana. Hapa chini ni jinsi ya kutumia ukiwa unataka kuweka afya yako vizuri tumia matatu kila siku kwa mtu mzima au mawili kwa watoto walio na umri chini ya miaka 16 kwasababu mayai haya ni madogo matatu ni karibu sawa na yai moja la kuku. Ikiwa unarecover au unasumbuliwa na magonjwa  mbalimbali wakati unatumia dawa ulizoandikiwa sio vibaya ukala chakula hiki bora kama ilivyoainishwa  kwenye  matandao wa http://www.quailfarm.co.uk kwa kufuata siku hizo na mayai hayo  yalioaninishwa hapa chini.
Age Group
Jumlaya mayai ya kware

Total No of Quail Eggs
Jumla ya siku

Total No of Days
Siku ya kwanza

1st Day
Siku ya pili

2nd Day
Siku ya tatu

3rd Day
Kuanzia siku ya nne na kuendelea

From the 4th Day on
Adult/watu wazima
240
49
3
3
4
5
Adult/Watu wazima
120
25
3
3
4
5
16-18 yrs/miaka
120
25
3
3
4
5
11-15 yrs/miaka
120
31
3
3
3
4
8-10 yrs/miaka
90
30
3
3
3
3
4-7 yrs/miaka
60
20
3
3
3
3
1-3 yrs/miaka
60
30
2
2
2
2
3 miezi/mount - 1 yr/mwaka
30
30
1
1
1
1

For Children: The consumption of quail eggs is recommended for children whether cooked or raw for their physical and mental balance. Quail eggs help improving the IQ.

Growth stimulation and metabolism improvement
100eggs
Reactivate the nerves and central nervous system
120eggs
For the elderly: Quail eggs have brilliant regenerative effects on the body therefore are recommended for the elderly. It can calm down and/or cure many diseases attributed to old age, deficiency or excess nutrients in the body.

quail eggs help renewing the state of health and brings the body to equilibrium, combats the degenerative process and rejuvenates the body
240eggs
revives memory and protects nerve cells
120eggs
improves sexual potency
120eggs
reinforces organs weakened by physical work or stress
240eggs
fortifies the body
240eggs
Asthma
240eggs
Skin rash
120eggs
Eczema conjunctivitis
120eggs
Allergic rhinitis
240eggs
Gastric ulcers
240eggs
Poor digestion
120eggs
Excess secretions of stomach acids
120eggs
Improves  liver organ functions
240eggs
Improves the functioning of the heart in the case of coronary sclerosis
240eggs
anaemia
240eggs
arterial hypertension
240eggs
gouts
240eggs
obesity
240eggs
diabetes
240eggs
neurasthenics
240eggs
nervous state
240eggs
Benefits of quail eggs during pregnancy and while breast feeding:

The consumption of quail eggs fortifies the woman’s body during pre and post natal periods as well as after surgery and radiotherapy. It also has beneficial effects on the foetus (physical and mental balance) and for the mother after delivery (physical rehabilitation and rejuvenation of cells). Quail eggs also improve the quality of breast milk.
240eggs
The consumption of quail eggs by HIV AIDS patients improves CD4
240egg


Sunday, 10 August 2014

TOFAUTI ILIYOKO KATI YA MAYAI YA KWARE NA KUKU





Katika siku chache baada ya kupost kuhusu kware hapa kwenye hii page ya  ulimwengu wa kware nimekuwa nikipata maswali kuwa nini hasa tofauti ya mayai ya kware na yale ya kuku ingawa mada za awali zilikuwa zinaonyesha tu kwa habari za watu waliopata kutumia mayai haya na kuona umuhimu wake katika afya na baadhi ya tovuti kuongelea tu kwamba mayai haya ni mazuri yanasaidia kwa afya bado kama watu tulienda shule ilikuwa haikidhi haja kuamani tu yakuwa yana saidia katiaka afya, nikiwa mmojawapo wa watu ambao niliona yanasaidia watu walikuwa nakuoteza kumbukumbukumbu, wenye matatizo ya miguu, pressure, kisukari, rush kwenye ngozi na alleggy wakiendelea vizuri. Na mpaka sasa mimi napenda kuiita hiki chakula bora na sio dawa  kama watu wengi waliotumia wakapata nafuu au kupona ya yaliokuwa yakiwasibu   na wale waliokuwa  na dhaifu nyingine katika mwili wakarejea afya maridhawa lakini msimano wangu binafsi napenda kutambua mchango wake haya mayai kama chakula bora.  Ndio maana hata Mungu aliamua kuwapa wana waisrael kama chakula kwenye Kutoka 16:13 na mtumishi Daudi anakomelezea kwenye Zaburi 105:40. Sasa kwa kuwa siku zote najua kuwa Mungu hapingani na sayansi kitu wanasayansi wanachofanya nikungudua tu mambo ambayo Mungu ameyaweka  kwahiyo ikabidi nitafute kisayansi sasa sisi tunaopenda kuoona na kufanya akili zetu zielewe maana ukielewa jambo kwenye akili  yako ni rahisi kufanyia kazi na kwenda mbele na sio kitu kibaya aliyetuumba anapenda sana tutumie akili zetu.
Katika kutafuta nikasema pamoja na vyanzo vya wataalamu binafsi ningependa kupata vyanzo vilivyo vya kiserekali ambavyo wao hawana upande waliolalia maana hawa wataalamu binafsi wanaweza kuwa na ajenda zao, Na ndipo nilipopata  utafiti wa USDA (United State Department of  Agriculture) unaonyesha tofauti za mayai haya kwa kina katika category 78 za nutrients  zilizogawanya mayai ya kware yana  vitu 31 zaidi ambayo ya kuku hayana kabisa wakati yale ya kuku ya kitu kimoja tu ambacho hakiko kwenye ya kware ambacho naomba nikitaje nacho ni Vitamin K (phylloquinone) na  katika hizo 45 vilivyobaki vya kware 42 viko juu  na vingine hata mara mbili ya zile za kuku, wakati vya kuku ni 3 vitatu  ambayo vimezidi vile vya kware.  Angalia link hizo hapo chini kwa number kamili

1. Bofya hapa ikuonyeshe mlinganisho wa mayai ya  kware na kuku katika nutrients

2. Bofya hapa uone nutrients za mayai ya  kware peeke yake


3.  Bofya hapa uone nutrients za mayai ya kuku peeke yake

Naomba niwakilishe nakaribisha maswali comment hapo chini ili tuendelee kujifunza zaidi faida ya ndege huyu na manufaa yake katika maisha yetu Ahsanteni na karibuni.

Tuesday, 29 July 2014

LEO NI VIZURI KUANGALIA VIDEO HIZI KWA AJILI YA KUJIFUNZA ZAIDI JUU YA MNYAMA HUYU KWA FAIDA ZAKE


Kwa kuwa kuna methali  isemayo kuwa picha huzungumza au uwakilisha maneno elfu nimeona ni vyema tuone jirani zetu wa Kenya walivyojipanga katika kazi hii ya ufugaji  wa wandege hawa, bila kupoteza  muda angalia link hizi hapa chini
Part one video

Part two video

Naamini utakuwa umefurahi video hizi tafadhali embu eleza hapo chini uzoefu wako katika kufunga na kama unapenda kujifunza zaidi kuna wataalamu wengi katika ulimwengu wa kware Tanzania wanaweza kukusaidia.



Karibu na uwe na siku njema.



Visit below links for more information

BENEFIT OF QUAIL EGGS
1.Benefit of Quail EGGS

2.Other healthy benefit

3.Ufumbuzi toka nchi nyingine kuhusu ufugaji wa kware.